Kurejeshwa kwa mwenyekiti huyo kumeshuhudiwa na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali mbele ya mkuu wa Wilaya hiyo Herman Kapufi aliyeombwa na wananchi hao kukubali maombi yao ya kumrejesha mwenyekiti wao kwani walichukua maamuzi hayo kwa kukurupuka ( huku wakidai kuwa tangu dunia iumbwe hawajawahi kuona mwenyekiti mchapakazi kama Ngíwigulu hali iliyomfanya mkuu huyo wa wilaya akubali maombi yao huku akiwataka kuchapa kazi na si kuendekeza majungu).
Awali kabla ya tukio hilo,mkuu huyo wa wilaya aliyefanya ziara ya kikazi kwenye kata hiyo alitembelea shule ya Msingi Torogo iliyojengwa na Mwekezaji mzawa Evarist Gervas kwa kushirikiana na wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu.
M/kiti wa Kijiji cha Ililika, Wananchi wamrejesha baada ya kubaini walikosea kumngo’a
Reviewed by EXUPER ASSOCIATION
on
November 14, 2017
Rating:
No comments: