To Advertise here call +255786419829

To Advertise here call +255786419829

Shule za Nyasi Kuondoka , Serikali imenuia kuhakikisha ndani ya miezi kumi na mbili ijayo

Image result for SHULE ZA NYASISerikali imenuia kuhakikisha kuwa ndani ya miezi kumi na mbili ijayo, shule zote zilizoezekwa kwa nyasi nchini zinaondoka,ili kuhakikisha mtoto wa kitanzania anapata elimu iliyo bora katika mazingira rafiki.
Mpango huo waImage result for SHULE ZA NYASI serikali umetangazwa mjini Dodoma na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dk. Leonard Akwilapo, wakati alipokuwa akifungua Mkutano wa wadau wa ubora wa elimu nchini.Image result for SHULE ZA NYASI
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Mkoa wa Tabora Bw. Khamis Lissu, ameshauri shule zisizokidhi vigezo vya kuwa shule zisipewe usajili, kama ilivyo kwa shule za binafsi, huku mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania Bi. Catherine Sekwao akisisitiza umuhimu wa uwiano sawa wa ubora wa elimu katika maeneo ya mijini na vijijini.Image result for SHULE ZA NYASI
Shule za Nyasi Kuondoka , Serikali imenuia kuhakikisha ndani ya miezi kumi na mbili ijayo Shule za Nyasi Kuondoka , Serikali imenuia kuhakikisha ndani ya miezi kumi na mbili ijayo Reviewed by EXUPER ASSOCIATION on November 14, 2017 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.