Aidha wananchi hao wanahofu ya kuondolewa kwenye maeneo yao endapo agizo hilo litatekelezwa, wakidai kuwa katika orodha ya watakaogawiwa ardhi ya kilimo baada ya upimaji wao hawamo.
Channel Ten ikazungumza na Afisa Mtendaji wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Rujewa Fortunatus Mjengwa,naye akasema mgogoro huo ni wa muda murefu , na kwamba yeye anatekeleza agizo la Mkuu wa Wilaya lakini pia akasema taratibu zote za kisheria zimefuatwa.
Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Rubein Mfune anasema Uamuzi huo umefikiwa baada ya kuwa na ushirikishwaji wa pamoja.
Wananchi Mbarali Walalamikia Agizo la DC Kuchukua Eneo la Kilimo
Reviewed by EXUPER ASSOCIATION
on
November 14, 2017
Rating:
No comments: