To Advertise here call +255786419829

To Advertise here call +255786419829

Mnyika: Sijajiuzulu wadhifa wangu Chadema

 Mbunge wa Kibamba, John Mnyika amesema taarifa kwamba amejiuzulu nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema -Bara hazina ukweli.
Mnyika ambaye amekuwa akitajwa tajwa kwamba atakihama chama hicho, ametoka kauli hiyo baada ya kuwapo taarifa kwamba  amejiuzulu wadhifa huo.
Akizungumza  leo Jumanne Desemba 5,2017 jioni kuhusu taarifa zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kwamba amejiuzulu; Mnyika amesema, ‘’Si kweli ni taarifa za uongo.’’

Mnyika: Sijajiuzulu wadhifa wangu Chadema Mnyika: Sijajiuzulu wadhifa wangu Chadema Reviewed by EXUPER ASSOCIATION on December 05, 2017 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.